Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

Dr.Ulimboka:Naendelea vizuri tofauti na nilivyoletwa jana ila ni maumivu ya kichwa tu ndio makali.


Dr.Ulimboka akiwa ndani ya chumba cha wagonjwa mahututi(ICU) katika Hospitali ya Muhimbili.
Katika maelezo aliyotoa akiongea na waandishi wa habari wa ITV amesema anaendelea vizuri tofauti na alivyoletwa jana ila ni maumivu ya kichwa tu ndio yamsumbua kwa sasa hivyo anaomba apumzike zaidi ili hali yake irudi katika hali ya kawaida.
.

Source:ITV
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top