Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

DALADALA TIME ABIRIA WAKIWA WAMEKAA KWA RAHA MUSTAREHE

Abiria wakiwa kila mmoja kwenye kiti chake tofauti na muda ule wa asbuhi na jioni ambapo kukuta daladala liko kama uonavyo pichani ni nadra sana kwani mengi huwa yamejaa kupita kiasi na humo ndani ni mbanano mwanzo mwisho unapumulia kwenye kwapa na mwenzio ole wako liwe ndio yaleee ya kutafutiwa dawa balaa. Daladala hili linafanya safari zake kati ya Masaki -Buguruni.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top