Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

TATIZO LA AJIRA LAZIDI KUONGEZEKA DUKA LIMEFUNGWA TUKAFANYIE SHOPPING ZETU WAPI SASA ?

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhTeMNXPqDYqr3_q6rOPfOAhpAAVQQnRH2c4qJ1gtInPVQuo37poeTNbQr7megY8p5BCa2xrWYlYstMIayH_yxo8l7p_gSWapxw44zcGvHxGj5stGlXKpZpjn-ZBVYUlTw716G79TIUbFU/s1600/duka.JPG Duka likiwa limefungwa na wanakijiji tunataka kufanya manunuzi tutakwenda wapi sasa ? Je ufungaji huu wa duka ni kutokana na ugumu wa maisha yaliyopelekea mtaji kukata ? Kumekuwepo tatizo kubwa la ajira katika nchi nyingi Duniani na Tanzania nayo ikiwemo.

Tatizo lingine  ni Elimu duni ya fedha inayowagharimu  wanaokopa mikopo benki hivyo kufikia wao kufunga maduka yao kama alivyofanya huyo pichani juu.

Pamoja na vijana wengi kuwa wabunifu lakini bado tatizo la ajira linazidi kuwa kubwa.Serikali imekuwa kwenye juhudi kubwa kuweza kuwasaidia vijana kuweza kujiajiri wenyewe kwa kuamua Ujasiriamali kuingizwa kwenye mtaala waElimu.

MKUTANO  wa mwaka wa 47 wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), uliofanyika jijini Arusha Juni 2, mwaka huu na moja kati ya hoja kubwa zilizotawala ni tatizo la ukosefu wa ajira kwa vijana barani Afrika.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top