Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

TASWIRA MANZESE ITAKAVYOKUWA BAADA YA KUMALIZIKA KWA UJENZI KWA NJIA YA MABASI YAENDAYO KASI

Hivyo ndivyo itakavyokuwa baada ya ujenzi wa barabara ya mabasi yaendayo kasi kukamilika na hapo ni kituo cha Manzese kitakavyokuwa.Changamoto kubwa iliyoko mbeleni ni namna ya utunzaji wa miundo mbinu hiyo ili iweze kudumu kwa muda mrefu kama ilivyo kusudio la mradi huo.

Mradi huo unaendelea kujengwa na huko kwenye ujenzi kuna mashine za kila aina zikipiga kazi ili mradi huo uende kwa kasi nzuri.

Kuna taswira pia zikionyesha jinsi miundombinu hiyo inavyojengwa maeneo ya Manzese -Ubungo na pia maeneo ya Kinondoni B pia wameanza kujenga miundo mbinu ya barabara.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top