Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

TASWIRA:UKARABATI WA RELI STESHENI-UBUNGO WAENDELEA




Mafundi wa Shirika la Reli wakimwaga kokoto kwenye Reli maeneo ya Tabata Dampo au Mataa(kutokana na kuwekwa kwa taa za kuongozea magari) ikiwa ni sehemu ya ukarabati unaoendelea ili kuwezesha Usafiri wa Reli katika Jiji la Dar es salaam kutoka Stesheni mpaka Ubungo.

Hivi karibu   usafiri huo wa treni kwa wakazi wa jiji la Dar es Salaam ulizinduliwa na una tarajiwa kuanza kazi Oktoba 2012
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top