Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

BURIANI SHARO MILIONEA

 
Muigizaji ambaye pia ni msanii wa muziki wa kizazi kipya, Hussein Ramadhani Mkiety maarufu kwa jina la Sharo Milionea, amekufa.

Kijana huyo maarufu, aliaga dunia jana jioni baada ya gari alilokuwa akiendesha kupinduka, akafa papo hapo.

Alipata ajali katika kijiji cha Lusanga, Muheza akiwa katika gari lenye namba za usajili T478 BVR Toyota Harrier, jana jioni. 

Mwili wa marehemu Sharo Milionea upo katika Hospitali Teule ya Muheza.

Chanzo:Maisha Blog.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top