Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

AZAM KUKIPIGA KINSHASA KUJIANDAA NA CONFEDERATIONS CUP

 Kikozi cha Azam Fc 
...........
Azam FC inatarajia kuelekea Kinshasa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo tarehe 13 hadi 23 December kushiriki mashindano ya Ngao ya Jamii (Charity Cup)

Mashindano hayo ambayo yatashirikisha timu kubwa za kutoka Kongo kama DCMP na AS Vita Club timu kutoka nje ya kongo kama Azam FC, Tusker FC, Gombe United ya Nigeria na Diable Noirs na Congo Brazavile yatatumika na Azam FC kama maanadalizi ya Confederations Cup

Azam FC inahitaji maandalizi na mechi nyingi za kirafiki nje ya Tanzania ili kupata uzoefu kabla ya kushiriki Confederations Cup. Kwa maana hiyo hii ni nafasi muhimu sana kwa Azam FC
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top