Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

KARIBUNI WOTE REGIA MTEMA DAY:MONDAY 14TH JANUARY 2013:PEACOCK HOTEL

Siku ya Jumatatu; tarehe 14 January 2013 ni siku ambayo Regia Mtema Foundation imeitenga maalumu kwa ajili ya kumbukumbu ya Regia Mtema. Katika siku hii maalumu wote mnakaribishwa Peacock Hotel ambako kutakuwa na maada mbalimbali zitakazowasilishwa na kujadiliwa kama alivyozisimamia Regia. Katika siku hii maalumu wageni na wadau mbalimbali wamethibitisha kushiriki.

Hafla hii maalumu itaanza saa 9.00 Alasiri na kumalizika 2.00 usiku na kisha kufuatiwa na chakula cha usiku. Ratiba kamili itahusisha matukio yafuatayo:


  1. Historia ya Regia itakayowasilishwa na Mh. David Kafulila
  2. Mada juu ya Rushwa itakayowakilishwa na Takukuru
  3. Ulemavu Siyo Kutoweza itakayowasilishwa na Bi Shida Salum - Mwenyekiti CHAWATA
  4. Nafasi ya Kijana katika kuchochea maendeleo na demokrasia - Mh. January Makamba
  5. Majadiliano
  6. Documentary za Regia Mtema
  7. Remarks kutoka kwa Mh. Zitto Kabwe; Mh. John Mnyika na Hussein Bashe na Mzee Mtema
  8. Chakula cha jioni
  9. Networking


Wasimamizi wa hafla hii watakuwa: Pascal Mayalla na Lara Williams

Thibitisha kuhudhuria kwako kwako kupitia number: 0713 694 820

CC: Pasco; lara 1; Mzee Mwanakijiji - Naomba msambaze mwaliko huu.

Wasalaam

Sanctus Mtsimbe
Mwenyekiti; Regia Mtema Foundation
Sokoine Drive/Pamba Road
Opposite Luther House or Life House/Tancot House;
2nd Floor; Left Wing (3rd Floor including Mezanine)
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top