Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

RAIS ZUMA ALIVYOWASILI JANA KUHUDHURIA MKUTANO WA SADC-TROIKA

Rais wa Afrika Kusini, Mhe. Jacob Zuma akiteremka kutoka kwenye ndege mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya SADC

Mhe. Zuma akisalimiana na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Mathayo David Mathayo ambaye alikuwa Uwanjani hapo kwa ajili ya kumpokea

Mhe. Rais Zuma akifuatana na Mhe. Mathayo mara baada ya kuwasili


Gwaride la Heshima kwa ajili ya Mhe. Rais Zuma

Mhe. Rais Zuma akipita katikati ya Gwaride lililoandaliwa kwa heshima yake.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top