Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

TASWIRA:HAPA NA PALE KIGOMA

 Mtoto akitafuta wateja wa miwa kwenye stesheni ya Kazutramimba mkoani Kigoma, hivi karibuni
 Ally Bikulako mkazi wa Nguruka wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma, akiwa katika kazi ya ufundi wa kuchora bango la shule ya sekondari ya Nguruka, hivi karibuni.
 Mamalishe wakiwa kazini katika kijiji cha Nguruka, wilayani Uvinza mkoani Kigoma hivi karibuni.
 Mafundi wakiwa katika ujenzi wa nyumba ya kisasa katika Kijiji cha Kasanda, wilayani Kakonko mkoani Kigoma juzi.
 Watoto wakichota maji safi ya bomba kwenye kijiji cha Nyabibuye, Kakonko mkoani Kigoma jana.
 Belitha Anthoy wa Kijiji cha Lumashi, Kata ya Nyabibuye, Kakonko mkoani Kigoma akichoma mahindi, nyumbani kwao, jana. Huu ni msimu wa mahindi mabichi Kigoma
 MTOTO akiswaga mbuzi aliokuwa anachunga katika kijiji cha Malagarasi, wilayani Uvinza mkoani Kigoma, juzi.
 
PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO via CCM Blog
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top