Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

ZARI 'AMMAIND' ALIYEJICHORA TATUU YA DIAMOND

Hamida Hassan
Mahaba kweli hayazuiliki! Mrembo mmoja wa mjini ambaye jina lake halikuweza kufahamika mara moja, hivi karibuni alijikuta akikejeliwa na mpenzi wa Nasibu Abdul “Diamond’, Zarinah Hassan ‘Mama Tiffah’ baada ya mdada huyo kutupia picha mtandaoni akiwa amejichora tatuu yenye jina la Diamond kwenye matiti.

 Zarinah Hassan ‘Mama Tiffah’.
Baada ya mrembo huyo kuitupia picha hiyo na kujinasibu kuwa anampenda sana msanii huyo, Zari akaiona na kuonesha kuwa ana wivu kwa laazizi wake ‘alimtag’ Diamond kwa kuandika ‘Seen this?’ kisha kumkejeli demu huyo kwa kumwambia akae mbali ‘asilete shobo’.

Baada ya Zari kuandika hivyo, mrembo huyo alijikuta akipewa za chembe na wafuasi wa Diamond kwa kujipendekeza kwa mpenzi wa mtu.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top