Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

CR7 AZIDI KUWAPOTEZA WAPINZANI WAKE

Usiku  wa jana ulikuwa mzuri kwa baadhi ya mashabiki kutokana na miamba miwili ya soka Real Madrid na PSG kupepetana.Lakini macho yalikuwa kwa CR7 na Neymar kwani kila mmojawapo akishika mpira ilikuwa ni shangwe upande mmoja huku mwingine ukibeza hivyo kuufanya usiku kuwa mtamu sana kwenye vibanda umiza.
“Mtoto yake nepi” Real Madrid msemo huo umedhihirika  baada ya usiku wa leo baada ya Real Madrid kutoka nyuma kwa bao 1 kwa 0 mbele ya PSG na kisha kuumaliza mchezo huo kwa ushindi wa mabao 3 kwa 1.
Cristiano Ronaldo aliweza isaidia  Real Madrid kwa kufunga mabao mawili hivyo kuipa nafasi zaidi Madrid tumaini la kuingia robo fainali hivyo kuzidi kupata tumaini la  kutetea taji lao  miaka mitatu mfululilo.

Cristiano Ronaldo alikuwa shujaa wa Real Madrid ambapo sasa anakuwa mchezaji pekee mwenye kuweza kufikisha mabao 100 katika timu moja Michuano ya   Champions League.


author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top