Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

PIGO KWA PSG,NEYMAR KUIKOSA REAL MADRID


Mshambuliaji wa Paris St-Germain, Neymar ataukosa mcheoz wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya  Real Madrid baada ya kuumia mguu.
Mbarazili huyo mwenye umri wa miaka  26,aliumia jumapili katika mchezo dhidi ya Marseille.

Neymar alijiunga na  PSG kwa uhamisho wa £200m kutoka Barcelona August,2017 na amefunga magoli 29 katika michezo 30 aliyocheza.
Haijulikani atakuwa nje kwa muda gani kutokana na kuumia huko.
PSG wana pointi 14 zaidi Monaco wanaoshika nafasi ya pili na tarehe 6 Machi wanawakaribisha Real Madrid, ambao wana mtaji wa mabao 3-1 kutokana na ushindi katika mchezo wa kwanza. 
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top